engagement with TRA was prefaced by probation of one year. Therefore, Stella's engagement with TRA was NOT "uhamisho wa moja kwa moja" but was secondment. After the one
year period of ^probation TRA could retain Stella, that is, confirm her engagement or TRA could decide not to confirm her engagement,
which is what it did vide Exh. P 5. In that case Stella was to report back to her former employer, MOF. Likewise, Stella could have
decided, after the expiry of the probation period, not to work for TRA and in that case, too, she would have returned to MOF.
The position explained above is confirmed by Exh. D. 3, a letter from
the Central Establishment to TRA dated 11th November, 1998, which
said in relevant parts as follows:
Napenda kukutaarifu kuwa utaratibu ambao umekuwa unatumika katika kuwahamisha watumishi wa Serikali, katika Idara ambazo zimebadilishwa
kuwa Wakala wa Serikali (Agencies) ni kuwapa kibali cha kuazimwa katika kipindi cha mwaka mmoja na katika kipindi hicho mwajiri anawajibika
kulipa Hazina asilimia 25 ya mishahara yao kwa madhumuni ya kuhifadhi pensheni zao. Baada ya kipindi cha mwaka mmoja kumalizika inabidi
waajiriwa hao pamoja na mwajiri kufanya uamuzi wa kuendelea au kutokuendelea na kazi katika Taasisi hiyo. Watumishi ambao hawapendelei
kuendelea na kazi au wameshindwa kutimiza masharti